Asia
Mauaji ya kimbari ya Bangladesh ya mwaka 1971 yanakidhi ufafanuzi wa kisheria, na ni wakati wa Umoja wa Mataifa kuyaita jina hilo
Mauaji ya kimbari ya mwaka 1971 nchini Bangladesh ni mojawapo ya mauaji ya kikatili zaidi, lakini yasiyotambulika zaidi, ya halaiki ya karne ya ishirini. Zaidi ya miongo mitano baadaye, jumuiya ya kimataifa –…

